Danieli 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Na baada yako utasimama ufalme+ mwingine ulio mdogo kwako;+ na ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+ Danieli 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mimi nami nikaendelea kumwangalia sana, na, tazama! kulikuwa na mbuzi-dume+ akija kutoka upande wa magharibi akiwa juu ya uso wa dunia yote, naye hakuwa akigusa nchi. Huyo mbuzi-dume alikuwa na pembe yenye kuonekana wazi kati ya macho yake.+ Danieli 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi akaendelea kusema: “Je, kweli unajua kwa nini nimekuja kwako? Na sasa nitarudi kupigana na mkuu wa Uajemi.+ Ninapoenda, tazama! pia mkuu wa Ugiriki anakuja.+ Danieli 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na mfalme mwenye nguvu atasimama na kutawala kwa mamlaka kubwa sana+ na kufanya kulingana na mapenzi yake.+
39 “Na baada yako utasimama ufalme+ mwingine ulio mdogo kwako;+ na ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+
5 Mimi nami nikaendelea kumwangalia sana, na, tazama! kulikuwa na mbuzi-dume+ akija kutoka upande wa magharibi akiwa juu ya uso wa dunia yote, naye hakuwa akigusa nchi. Huyo mbuzi-dume alikuwa na pembe yenye kuonekana wazi kati ya macho yake.+
20 Basi akaendelea kusema: “Je, kweli unajua kwa nini nimekuja kwako? Na sasa nitarudi kupigana na mkuu wa Uajemi.+ Ninapoenda, tazama! pia mkuu wa Ugiriki anakuja.+
3 “Na mfalme mwenye nguvu atasimama na kutawala kwa mamlaka kubwa sana+ na kufanya kulingana na mapenzi yake.+