Danieli 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Na baada yako utasimama ufalme+ mwingine ulio mdogo kwako;+ na ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+ Danieli 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na wanyama wakubwa mno wanne+ walikuwa wakitoka baharini,+ kila mmoja akiwa tofauti+ na wale wengine. Danieli 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na yule mbuzi-dume mwenye manyoya anawakilisha mfalme wa Ugiriki;+ na ile pembe kubwa iliyokuwa kati ya macho yake, inawakilisha mfalme wa kwanza.+
39 “Na baada yako utasimama ufalme+ mwingine ulio mdogo kwako;+ na ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+
3 Na wanyama wakubwa mno wanne+ walikuwa wakitoka baharini,+ kila mmoja akiwa tofauti+ na wale wengine.
21 Na yule mbuzi-dume mwenye manyoya anawakilisha mfalme wa Ugiriki;+ na ile pembe kubwa iliyokuwa kati ya macho yake, inawakilisha mfalme wa kwanza.+