Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Yehova amemwambia hivi mtiwa-mafuta wake,+ Koreshi, ambaye mkono wake wa kuume nimeushika,+ ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+ hivi kwamba nivifungue viuno vya wafalme; nifungue mbele yake milango yenye pande mbili, hivi kwamba hata malango hayatafungwa:

  • Yeremia 51:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Takaseni juu yake mataifa, wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala-wasaidizi wake wote na nchi yote ya mamlaka ya kila mmoja.

  • Danieli 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”+

  • Danieli 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na sasa nitakuambia yaliyo kweli:+

      “Tazama! Bado kutakuwa na wafalme watatu wenye kusimama kwa ajili ya Uajemi,+ na yule wa nne+ atakusanya utajiri mwingi kuliko wengine wote.+ Na mara tu atakapopata nguvu katika utajiri wake, ataamsha kila kitu kupigana na ufalme wa Ugiriki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki