1 Wafalme 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yehu+ mjukuu wa Nimshi+ umtie mafuta kuwa mfalme juu ya Israeli; na Elisha+ mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola+ umtie mafuta kuwa nabii mahali pako.+ Isaya 44:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yule anayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu, naye atatenda kikamilifu mapendezi yangu yote’;+ neno langu kuhusu Yerusalemu, ‘Atajengwa upya,’ na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+
16 Na Yehu+ mjukuu wa Nimshi+ umtie mafuta kuwa mfalme juu ya Israeli; na Elisha+ mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola+ umtie mafuta kuwa nabii mahali pako.+
28 Yule anayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu, naye atatenda kikamilifu mapendezi yangu yote’;+ neno langu kuhusu Yerusalemu, ‘Atajengwa upya,’ na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+