Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Koreshi mfalme wa Uajemi+ amesema hivi, ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu, huko Yuda.+ Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote,+ Yehova Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi apande na kwenda.’”+

  • Ezra 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Koreshi mfalme wa Uajemi amesema hivi,+ ‘Yehova Mungu wa mbinguni+ amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu,+ huko Yuda.

  • Ezra 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Katika mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi,+ Mfalme Koreshi alitoa agizo kuhusu nyumba ya Mungu katika Yerusalemu: Nyumba hiyo na ijengwe upya iwe mahali pao pa kutolea dhabihu,+ na misingi yake iwekwe, urefu wake uwe mikono 60, upana wake mikono 60,+

  • Isaya 45:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Mimi nimemwamsha mtu katika uadilifu,+ na njia zake zote nitazinyoosha.+ Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu,+ na watu wangu walio uhamishoni atawaacha waende zao,+ si kwa bei+ fulani wala kwa rushwa,” Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki