5 za dhahabu kwa ajili ya kazi ya dhahabu, na za fedha kwa ajili ya kazi ya fedha na kwa ajili ya kazi yote ya kufanywa kwa mkono wa mafundi. Na ni nani anayejitolea kuujaza mkono wake leo kwa zawadi kwa ajili ya Yehova?”+
13 mimi nimetoa agizo+ kwamba kila mtu katika utawala wangu+ ambaye ni mmoja wa watu wa Israeli na makuhani wao na Walawi, ambaye yuko tayari kwenda Yerusalemu pamoja nawe, aende.+