17 “Na sasa ikiwa inaonekana vema kwa mfalme, acha ufanywe uchunguzi+ katika nyumba ya hazina za mfalme iliyopo hapo Babiloni, ili ionekane kama kweli Mfalme Koreshi alitoa agizo+ la kuijenga upya nyumba hiyo ya Mungu katika Yerusalemu; naye mfalme atutumie uamuzi wake kuhusu jambo hili.”