17 “Basi mfalme ukipenda, acha uchunguzi ufanywe katika nyumba ya hazina ya mfalme iliyo Babiloni, ili ijulikane kama Mfalme Koreshi alitoa agizo la kuijenga upya nyumba ya Mungu huko Yerusalemu;+ kisha wewe mfalme ututumie uamuzi wako kuhusu jambo hili.”