3 “Katika mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi,+ Mfalme Koreshi alitoa agizo kuhusu nyumba ya Mungu katika Yerusalemu: Nyumba hiyo na ijengwe upya iwe mahali pao pa kutolea dhabihu,+ na misingi yake iwekwe, urefu wake uwe mikono 60, upana wake mikono 60,+