Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Daudi akaendelea kumwambia Sulemani mwana wake: “Uwe hodari+ na mwenye nguvu nawe utende. Usiogope+ wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu, Mungu wangu, yuko pamoja nawe.+ Hatakutupa+ wala kukuacha mpaka itakapomalizika kazi yote ya utumishi wa nyumba ya Yehova.

  • Zaburi 145:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+

      Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+

  • Isaya 45:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Mimi nimemwamsha mtu katika uadilifu,+ na njia zake zote nitazinyoosha.+ Yeye ndiye atakayelijenga jiji langu,+ na watu wangu walio uhamishoni atawaacha waende zao,+ si kwa bei+ fulani wala kwa rushwa,” Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki