1 Mambo ya Nyakati 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna namna yoyote ya kuhesabu dhahabu, fedha na shaba na chuma.+ Simama, utende,+ na Yehova awe pamoja nawe.”+ Zekaria 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Haya, Sayuni!+ Ponyoka, wewe unayekaa na binti Babiloni.+
16 Hakuna namna yoyote ya kuhesabu dhahabu, fedha na shaba na chuma.+ Simama, utende,+ na Yehova awe pamoja nawe.”+