Isaya 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Tazama, ninawaamsha Wamedi+ juu yao, ambao hawaioni fedha kuwa kitu na ambao, kwa habari ya dhahabu, hawapendezwi nayo. Isaya 41:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Nimemwamsha mtu kutoka kaskazini, naye atakuja.+ Kutoka mashariki+ ataliitia jina langu. Naye atakuja juu ya watawala-wasaidizi kana kwamba wao ni udongo+ na kama vile mfinyanzi anayekanyagia chini chombo kibichi. Yeremia 51:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Wewe ni rungu kwangu, kama silaha za vita,+ na kupitia wewe hakika nitayavunja mataifa vipande-vipande, na kupitia wewe nitaziangamiza falme.
17 “Tazama, ninawaamsha Wamedi+ juu yao, ambao hawaioni fedha kuwa kitu na ambao, kwa habari ya dhahabu, hawapendezwi nayo.
25 “Nimemwamsha mtu kutoka kaskazini, naye atakuja.+ Kutoka mashariki+ ataliitia jina langu. Naye atakuja juu ya watawala-wasaidizi kana kwamba wao ni udongo+ na kama vile mfinyanzi anayekanyagia chini chombo kibichi.
20 “Wewe ni rungu kwangu, kama silaha za vita,+ na kupitia wewe hakika nitayavunja mataifa vipande-vipande, na kupitia wewe nitaziangamiza falme.