Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+

  • Yeremia 50:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana tazama, ninaamsha na kuleta juu ya Babiloni kutaniko la mataifa makubwa kutoka katika nchi ya kaskazini,+ na hakika wao watajipanga juu yake.+ Kutoka hapo atatekwa.+ Mishale ya mtu ni kama ya mwanamume mwenye nguvu ambaye harudi bila matokeo, akisababisha kufiwa na watoto.+

  • Yeremia 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+

  • Danieli 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 naye Dario+ Mmedi akaupokea ufalme, akiwa na umri wa kama miaka 62.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki