9 Kwa maana sasa ninaamsha na kuleta dhidi ya Babiloni
Kusanyiko la mataifa makubwa kutoka katika nchi ya kaskazini.+
Watamshambulia wakiwa wamejipanga kivita;
Kutoka hapo atatekwa.
Mishale yao ni kama ya shujaa
Inayosababisha wazazi wafiwe na watoto;+
Hairudi bila matokeo.