14 “Jipangeni juu ya Babiloni kila upande,+ ninyi nyote mnaokanyaga upinde.+ Mpigeni mishale.+ Msiuache mshale wowote, kwa maana yeye amemtendea dhambi Yehova.+
27 “Inueni ishara katika nchi.+ Pigeni baragumu kati ya mataifa. Takaseni+ mataifa juu yake. Iteni falme za Ararati,+ Mini na Ashkenazi+ zije juu yake. Wekeni juu yake ofisa mwandikishaji. Pandisheni+ farasi kama nzige waliojaa miiba.