2 nami nitatuma Babiloni wapepetaji ambao kwa hakika watampepeta na kuifanya nchi yake kuwa tupu;+ kwa maana kwa kweli watakuwa juu yake pande zote katika siku ya msiba.+
12 Inueni ishara+ juu ya kuta za Babiloni. Yatieni malindo nguvu.+ Wekeni walinzi. Watayarisheni wale wanaovizia.+ Kwa maana Yehova ametunga wazo naye pia hakika atafanya lile alilosema juu ya wakaaji wa Babiloni.”+