16 Utawapepeta,+ na upepo utawachukulia mbali,+ na dhoruba ya upepo itawasukuma kwenda njia mbalimbali.+ Nawe mwenyewe utashangilia katika Yehova.+ Utajisifu katika Mtakatifu wa Israeli.”+
7 Nami nitawapepeta kwa uma+ katika malango ya nchi. Hakika mimi nitawaua watoto wao.+ Nitawaangamiza watu wangu, kwa kuwa hawajageuka kuziacha njia zao.+
12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”