Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 kulingana na siku ambazo Wayahudi walipumzika kutokana na adui+ zao na mwezi ambao huzuni yao iligeuzwa kuwa shangwe na maombolezo+ yakawa siku njema, wazishike ziwe siku za karamu na kushangilia na kupelekeana mafungu+ ya vitu na zawadi kwa maskini.+

  • Isaya 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki