Esta 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndiyo sababu Wayahudi wa mashambani, waliokaa katika majiji ya wilaya za utawala zilizo kandokando, walikuwa wakiifanya siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari+ kuwa siku ya kushangilia,+ ya karamu na siku njema+ na ya kupelekeana mafungu+ ya vitu. Luka 11:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, vitoeni viwe kama zawadi za rehema+ vitu vilivyo ndani, na, tazama! vitu vingine vyote ni safi kuwahusu ninyi.
19 Ndiyo sababu Wayahudi wa mashambani, waliokaa katika majiji ya wilaya za utawala zilizo kandokando, walikuwa wakiifanya siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari+ kuwa siku ya kushangilia,+ ya karamu na siku njema+ na ya kupelekeana mafungu+ ya vitu.
41 Hata hivyo, vitoeni viwe kama zawadi za rehema+ vitu vilivyo ndani, na, tazama! vitu vingine vyote ni safi kuwahusu ninyi.