Luka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Uzeni+ mali yenu na mtoe zawadi za rehema.+ Jifanyieni wenyewe mikoba ambayo haichakai, hazina isiyopungua kamwe katika mbingu,+ ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali. Matendo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipowaona Petro na Yohana wakiwa karibu kuingia ndani ya hekalu akaanza kuomba apate zawadi za rehema.+
33 Uzeni+ mali yenu na mtoe zawadi za rehema.+ Jifanyieni wenyewe mikoba ambayo haichakai, hazina isiyopungua kamwe katika mbingu,+ ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali.
3 Alipowaona Petro na Yohana wakiwa karibu kuingia ndani ya hekalu akaanza kuomba apate zawadi za rehema.+