Esta 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndiyo sababu Wayahudi wa mashambani walioishi katika majiji ya wilaya zilizo mbali waliifanya siku ya 14 ya mwezi wa Adari iwe siku ya karamu na kushangilia, siku ya kusherehekea,+ na siku ya kupeana mafungu ya vyakula.+
19 Ndiyo sababu Wayahudi wa mashambani walioishi katika majiji ya wilaya zilizo mbali waliifanya siku ya 14 ya mwezi wa Adari iwe siku ya karamu na kushangilia, siku ya kusherehekea,+ na siku ya kupeana mafungu ya vyakula.+