Mwanzo 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+ Methali 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usiseme: “Nitalipiza uovu!”+ Mtumaini Yehova,+ naye atakuokoa.+ Luka 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuokoa+