Zaburi 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+Yehova na atimize maombi yako yote.+ Zaburi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ee Yehova, mfalme hushangilia katika nguvu zako;+Na katika wokovu wako jinsi anavyotaka kuwa na shangwe sana!+ Zaburi 62:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Kwa kweli nafsi yangu inamngojea Mungu kwa kimya.+Wokovu wangu unatoka kwake.+ Zaburi 95:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+ Sefania 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Paaza kilio kwa shangwe, Ee binti Sayuni! Piga vigelegele,+ Ee Israeli! Shangilia na kufurahia kwa moyo wote, Ee binti Yerusalemu!+
5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+Yehova na atimize maombi yako yote.+
21 Ee Yehova, mfalme hushangilia katika nguvu zako;+Na katika wokovu wako jinsi anavyotaka kuwa na shangwe sana!+
95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
14 Paaza kilio kwa shangwe, Ee binti Sayuni! Piga vigelegele,+ Ee Israeli! Shangilia na kufurahia kwa moyo wote, Ee binti Yerusalemu!+