Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakaanza kuitikia kwa kumsifu+ na kumtolea Yehova shukrani, “kwa kuwa yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo kwa Israeli ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+ Nao watu wote wakapaaza sauti+ kubwa kwa kumsifu Yehova juu ya kuwekwa kwa msingi wa nyumba ya Yehova.

  • Isaya 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+

  • Zekaria 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki