Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema,+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wote wa Israeli walikuwa wakitazama wakati moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba ile, kisha wakainama+ kifudifudi mara moja, juu ya sakafu ya mawe, wakasujudu+ na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Zaburi 73:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 73 Kwa kweli Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio safi moyoni.+

  • Zaburi 135:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Msifuni Yah, kwa maana Yehova ni mwema.+

      Lipigieni jina lake muziki, kwa maana linapendeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki