20 Kisha Naomi akamwambia: “Na abarikiwe huyo na Yehova,+ ambaye hakuacha kuonyesha fadhili zake zenye upendo+ kwa walio hai na wafu.”+ Naye Naomi akamwambia: “Mwanamume huyo ni wa jamaa yetu.+ Yeye ni mmoja wa wakombozi wetu.”+
3 Kutoka mbali Yehova alinitokea, akisema: “Nimekupenda wewe kwa upendo mpaka wakati usio na kipimo.+ Ndiyo sababu nimekuvuta kwa fadhili zenye upendo.+