Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+

  • Ruthu 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Boazi akasema: “Yehova na akubariki,+ binti yangu. Umeonyesha fadhili zako zenye upendo+ kwa njia bora zaidi mara hii ya mwisho kuliko mara ya kwanza.+ Hukuwafuata vijana, wawe ni wa hali ya chini au matajiri.

  • 2 Samweli 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi+ na kuwaambia: “Mbarikiwe na Yehova,+ kwa kuwa mmeonyesha hizi fadhili zenye upendo+ kwa bwana wenu, kwa Sauli, kwa maana mlimzika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki