2 Samweli 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Daudi akawatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi na kuwaambia: “Yehova na awabariki, kwa sababu mlimtendea bwana wenu, Sauli, kwa upendo mshikamanifu kwa kumzika.+
5 Basi Daudi akawatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi na kuwaambia: “Yehova na awabariki, kwa sababu mlimtendea bwana wenu, Sauli, kwa upendo mshikamanifu kwa kumzika.+