Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wakati huohuo, Sauli akawaambia Wakeni:+ “Nendeni, ondokeni,+ shukeni kutoka katikati ya Waamaleki, nisije nikawafagilia mbali ninyi pamoja nao. Ninyi mliwatendea fadhili zenye upendo wana wote wa Israeli+ walipokuwa wakipanda kutoka Misri.”+ Basi hao Wakeni wakaondoka katikati ya Amaleki.

  • Methali 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+

  • Mika 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki