Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo Musa akamwambia Hobabu mwana wa Reueli+ Mmidiani, baba-mkwe wa Musa: “Tunaondoka kwenda mahali ambapo Yehova alisema, ‘Nitawapa ninyi.’+ Nenda pamoja nasi, nasi hakika tutakutendea mema,+ kwa sababu Yehova amesema mema juu ya Israeli.”+

  • Hesabu 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na itakuwa kwamba ikiwa utaenda pamoja nasi,+ naam, itakuwa kwamba wema ambao Yehova atatutendea, sisi nasi tutakutendea wewe.”

  • Hesabu 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Alipowaona Wakeni,+ akaendeleza neno lake la kimethali na kuendelea kusema:

      “Makao yako ni yenye kudumu, na makao yako yamewekwa juu ya mwamba.

  • Waamuzi 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wana wa yule Mkeni,+ ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ wakapanda kutoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na wana wa Yuda, wakaingia katika nyika ya Yuda, iliyoko upande wa kusini wa Aradi.+ Ndipo wakaenda, wakaanza kukaa na watu hao.+

  • Waamuzi 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Heberi+ Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ wana wa Hobabu, ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ naye alikuwa amelisimamisha hema lake karibu na ule mti mkubwa kule Saananimu, ambao uko katika Kedeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki