3Naye Musa akawa mchungaji wa kundi la Yethro,+ kuhani wa Midiani, aliyekuwa mwana-mkwe wake.+ Alipokuwa akiliongoza kundi kuelekea upande wa magharibi wa nyika, mwishowe akafika kwenye mlima wa Mungu wa kweli,+ Horebu.+
18Sasa Yethro kuhani wa Midiani, baba-mkwe wa Musa,+ akasikia mambo yote ambayo Mungu alikuwa ameyafanya kwa ajili ya Musa na kwa ajili ya Israeli watu wake, jinsi Yehova alivyokuwa amewatoa Israeli kutoka Misri.+