Kutoka 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa kuhani+ wa Midiani alikuwa na binti saba, na kama kawaida wakaja kuteka maji na kuijaza mifereji ili kulinywesha kundi la baba yao.+ Kutoka 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Yethro kuhani wa Midiani, baba-mkwe wa Musa,+ akasikia mambo yote ambayo Mungu alikuwa ameyafanya kwa ajili ya Musa na kwa ajili ya Israeli watu wake, jinsi Yehova alivyokuwa amewatoa Israeli kutoka Misri.+
16 Sasa kuhani+ wa Midiani alikuwa na binti saba, na kama kawaida wakaja kuteka maji na kuijaza mifereji ili kulinywesha kundi la baba yao.+
18 Sasa Yethro kuhani wa Midiani, baba-mkwe wa Musa,+ akasikia mambo yote ambayo Mungu alikuwa ameyafanya kwa ajili ya Musa na kwa ajili ya Israeli watu wake, jinsi Yehova alivyokuwa amewatoa Israeli kutoka Misri.+