Mwanzo 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo akamimina upesi maji ya mtungi wake ndani ya chombo cha kunyweshea wanyama naye akakimbia tena na tena kisimani ili kuteka maji,+ akaendelea kuteka kwa ajili ya ngamia zake wote.
20 Kwa hiyo akamimina upesi maji ya mtungi wake ndani ya chombo cha kunyweshea wanyama naye akakimbia tena na tena kisimani ili kuteka maji,+ akaendelea kuteka kwa ajili ya ngamia zake wote.