16 Na wana wa yule Mkeni,+ ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ wakapanda kutoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na wana wa Yuda, wakaingia katika nyika ya Yuda, iliyoko upande wa kusini wa Aradi.+ Ndipo wakaenda, wakaanza kukaa na watu hao.+
11 Lakini Heberi+ Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ wana wa Hobabu, ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ naye alikuwa amelisimamisha hema lake karibu na ule mti mkubwa kule Saananimu, ambao uko katika Kedeshi.