7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.
5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+