Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+

  • Kutoka 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Yethro akawa na furaha kwa sababu ya mema yote ambayo Yehova alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli kwa kuwa alikuwa amewakomboa kutoka katika mkono wa Misri.+

  • Kutoka 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Yethro, baba-mkwe wa Musa, akachukua toleo la kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya Mungu;+ naye Haruni na wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kula mkate pamoja na baba-mkwe wa Musa, mbele za Mungu wa kweli.+

  • Hesabu 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo Musa akamwambia Hobabu mwana wa Reueli+ Mmidiani, baba-mkwe wa Musa: “Tunaondoka kwenda mahali ambapo Yehova alisema, ‘Nitawapa ninyi.’+ Nenda pamoja nasi, nasi hakika tutakutendea mema,+ kwa sababu Yehova amesema mema juu ya Israeli.”+

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki