Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+

  • Mwanzo 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha hao wanaume wakamwambia Loti: “Je, una mtu yeyote mwingine hapa? Mwana-mkwe na wana wako na binti zako na wote walio wako jijini, watoe nje ya mahali hapa!+

  • Hesabu 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo akasema na kusanyiko, na kuwaambia: “Geukeni kando, tafadhali, kutoka mbele ya mahema ya watu hawa waovu wala msiguse chochote kilicho chao,+ msije mkafagiliwa mbali katika dhambi yao yote.”

  • 1 Wafalme 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia: “Tazama, sasa, tumesikia kwamba wafalme wa nyumba ya Israeli ni wafalme walio na fadhili zenye upendo.+ Tafadhali, acha tuchukue nguo za magunia+ katika viuno+ vyetu na kamba juu ya vichwa vyetu, nasi twende kwa mfalme wa Israeli. Pengine atahifadhi hai nafsi yako.”+

  • Methali 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki