Zaburi 61:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+ Methali 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+
7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+
6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+