Zaburi 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+ Zaburi 57:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+ Zaburi 143:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na katika fadhili zako zenye upendo uwanyamazishe adui zangu;+Nawe uwaangamize wote wanaoichukia nafsi yangu,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+ Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+ Mika 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utatoa ukweli aliopewa Yakobo, fadhili zenye upendo alizopewa Abrahamu, ambazo uliwaapia mababu zetu tangu siku za zamani za kale.+
11 Wewe mwenyewe, Ee Yehova, usinizuilie huruma zako.+Fadhili zako zenye upendo na ukweli wako zinilinde daima.+
3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+
12 Na katika fadhili zako zenye upendo uwanyamazishe adui zangu;+Nawe uwaangamize wote wanaoichukia nafsi yangu,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+
28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+
20 Utatoa ukweli aliopewa Yakobo, fadhili zenye upendo alizopewa Abrahamu, ambazo uliwaapia mababu zetu tangu siku za zamani za kale.+