Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+ Zaburi 57:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+ Zaburi 61:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+
3 Tuma nuru yako na kweli yako.+Na hivyo vyenyewe viniongoze.+Navyo vinilete kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye maskani yako kuu.+
3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa.+Hakika atamvuruga yule anayenitanulia kinywa.+ Sela.Mungu atatuma fadhili zake zenye upendo na ukweli wake.+
7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+