Zaburi 144:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Unyooshe mikono yako kutoka katika kilele;+Uniweke huru na kunikomboa kutoka katika maji mengi,+Kutoka kwa mkono wa wageni,+ Matendo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Petro akarudiwa na fahamu, akasema: “Sasa ninajua hakika kwamba Yehova alimtuma+ malaika wake na kunikomboa+ kutoka mkononi mwa Herode na kutoka katika yote ambayo Wayahudi wote walikuwa wakitarajia.”
7 Unyooshe mikono yako kutoka katika kilele;+Uniweke huru na kunikomboa kutoka katika maji mengi,+Kutoka kwa mkono wa wageni,+
11 Na Petro akarudiwa na fahamu, akasema: “Sasa ninajua hakika kwamba Yehova alimtuma+ malaika wake na kunikomboa+ kutoka mkononi mwa Herode na kutoka katika yote ambayo Wayahudi wote walikuwa wakitarajia.”