1 Mambo ya Nyakati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ Zaburi 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sauti yangu nitamwita Yehova,Naye atanijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.+ Sela. Zaburi 78:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Bali alichagua kabila la Yuda,+Mlima Sayuni, ambao aliupenda.+
16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+