Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Rudisha jijini+ sanduku+ la Mungu wa kweli. Nikipata kibali machoni pa Yehova, hakika atanirudisha na kuniruhusu nilione na pia makao yake.+

  • 1 Wafalme 8:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe usikilize ombi la kutaka kibali+ la mtumishi wako na la watu wako Israeli ambalo wanasali kuelekea mahali hapa; nawe usikilize katika makao yako, mbinguni,+ nawe usikie na kusamehe.+

  • 1 Wafalme 8:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 basi usikie ukiwa mbinguni sala yao na ombi lao la kutaka kibali, nawe ufanye hukumu kwa ajili yao.+

  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+

  • Isaya 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na vikundi vingi vya watu hakika vitaenda na kusema: “Njooni,+ twendeni juu kwenye mlima wa Yehova, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo; naye atatufundisha njia zake, nasi tutatembea katika mapito yake.”+ Kwa maana sheria itatoka katika Sayuni, na neno la Yehova katika Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki