2 Mambo ya Nyakati 6:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 basi usikie ukiwa mbinguni sala yao na ombi lao la kutaka kibali,+ nawe ufanye hukumu kwa ajili yao.+ Zaburi 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sauti yangu nitamwita Yehova,Naye atanijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.+ Sela. Zaburi 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+
35 basi usikie ukiwa mbinguni sala yao na ombi lao la kutaka kibali,+ nawe ufanye hukumu kwa ajili yao.+
4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+