Zaburi 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sauti yangu nitamwita Yehova,Naye atanijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.+ Sela. Danieli 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi sasa, Ee Mungu wetu, sikiliza sala ya mtumishi wako na maombi yake, ufanye uso wako uangaze+ juu ya patakatifu pako ambapo pamefanywa ukiwa,+ kwa ajili ya Yehova.
17 Basi sasa, Ee Mungu wetu, sikiliza sala ya mtumishi wako na maombi yake, ufanye uso wako uangaze+ juu ya patakatifu pako ambapo pamefanywa ukiwa,+ kwa ajili ya Yehova.