8 Wakati huo Sulemani+ akaanza kuwakusanya+ wanaume wazee+ wa Israeli, vichwa vyote vya makabila,+ wakuu wa baba,+ wa wana wa Israeli, waende kwa Mfalme Sulemani katika Yerusalemu, ili kulileta sanduku la agano+ la Yehova kutoka katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+