Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wakati huo Sulemani+ akaanza kuwakusanya+ wanaume wazee+ wa Israeli, vichwa vyote vya makabila,+ wakuu wa baba,+ wa wana wa Israeli, waende kwa Mfalme Sulemani katika Yerusalemu, ili kulileta sanduku la agano+ la Yehova kutoka katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akaendelea kujijengea nyumba+ katika Jiji la Daudi; naye akatayarisha mahali+ kwa ajili ya sanduku la Mungu wa kweli na kulisimamishia hema.

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, Daudi alikuwa amelileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu+ mpaka mahali ambapo Daudi alikuwa amelitayarishia,+ kwa maana alikuwa amelisimamishia hema katika Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki