1 Mambo ya Nyakati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ Zaburi 132:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yehova,+Maskani kuu kwa ajili ya Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+ Matendo 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Alipata kibali+ machoni pa Mungu na kuomba pendeleo la kuandaa makao+ kwa ajili ya Mungu wa Yakobo.
16 Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
46 Alipata kibali+ machoni pa Mungu na kuomba pendeleo la kuandaa makao+ kwa ajili ya Mungu wa Yakobo.