Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Daudi akawakutanisha Israeli wote katika Yerusalemu+ ili kulipandisha sanduku+ la Yehova mpaka mahali pake ambapo alikuwa amelitayarishia.

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 naye akawaambia: “Ninyi ndio vichwa+ vya upande wa baba vya Walawi. Jitakaseni,+ ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimelitayarishia.

  • Matendo 7:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Alipata kibali+ machoni pa Mungu na kuomba pendeleo la kuandaa makao+ kwa ajili ya Mungu wa Yakobo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki