2 Samweli 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ 1 Mambo ya Nyakati 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Daudi akamwambia Sulemani mwana wake: “Kwa habari yangu, nilitaka sana moyoni+ mwangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova, Mungu wangu. Zaburi 132:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yehova,+Maskani kuu kwa ajili ya Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
7 Naye Daudi akamwambia Sulemani mwana wake: “Kwa habari yangu, nilitaka sana moyoni+ mwangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova, Mungu wangu.