2 Samweli 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ 1 Wafalme 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na likawa jambo lililo moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+ Zaburi 132:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yehova,+Maskani kuu kwa ajili ya Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
17 Na likawa jambo lililo moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+